
25.9K
BBKitu kinachoshukiwa kuwa ni kimondo chaanguka kwenye paa ya nyumba ya familia hii iliyoko New Jersey Marekani.
-
Maafisa wanaamini kuwa kitu hiko ambacho kilivunja paa la nyumba kuwa ni kimondo kilichoanguka kutoka angani.
-
kilisababisha mshtuko na uharibifu mdogo, ambao familia imeonesha katika kamera.
-
-
-
#bbcswahili #marekani #kimondo #angani
@bbcswahili










