
298.7K
AZHitoria nyingine imeandikwa… hii ni baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumruhusu mtoto akae kwenye kiti chake maalum.
Shuhudia kilichotokea kabla na baada ya mtoto huyo aliyesoma shairi la mambo mazuri yalioyofanywa na serikali kwa lugha ya Kingereza kupewa nafasi hiyo
Tulio hili limetokea leo Februari 27, 2025 katika hafla ya ugawaji wa mitungi ya gesi wilayani Muheza.
#AzamTVUPdates
Mhariri | John Mbalamwezi
@azamtvtz










