
23.7K
GLKAMBI YA MATIBABU YA MACHO DAR ES SALAAM 👁️
Unasumbuliwa na macho mekundu? Uoni hafifu? Mtoto wa jicho (cataract)? Au pressure ya macho (glaucoma)?
Sasa una nafasi ya kupata uchunguzi na matibabu ya kibingwa na madaktari kutoka Misri na Tanzania.
Huduma zitakazotolewa ni pamoja na:
✔️ Uchunguzi wa kina wa macho
✔️ Matibabu ya cataract
✔️ Matibabu ya glaucoma
✔️ Matibabu ya retina ya macho
✔️ Matatizo ya macho yanayotokana na kisukari na presha
📅 Tarehe: 13 – 16 Aprili 2026
📍 Mahali: International Eye Hospital, Morocco – Dar es Salaam
Jiandikishe mapema kabla ya tarehe 13 Aprili 2026.
📞 Piga simu: 0654 725 770 / 0760 003 535
@globaltvonline










